Searching...
Alhamisi, 12 Septemba 2013

WACHEZAJI WA ARSENAL KUMTIMUA WENGER MSIMU HUU.

  Trophyless: Arsenal's last silverware was the 2005 FA Cup won at the Millennium Stadium
ARSENE WENGER-KOCHA ARSENAL.
Kocha wa timu ya Arsenal Arsene Wenger ameapa kwamba endapo hatachukua ubingwa mwaka huu basi atakua tayari kujiuzulu kuifundisha klabu hiyo.
Kocha huyo Mfaransa mwenye umri wa miaka 63 amesema anaimani kubwa na kikosi chake na endapo kitamuangusha basi atafungasha virago na kutimka.Mkataba wake wa kuifundisha klabu hiyo unaisha mwezi wa sita-2014 na kumekuwa na hali ya sintofahamu kama ataongeza mkataba wake au ataondoka mwishoni mwa msimu huu.
'Hakuna mazungumzo yoyote juu ya kuongeza mkataba wangu hapa Arsenal,na mwisho wa siku nitaamua nini cha kufanya.unamhukumu kocha kutokana na kile alichokifanya na klabu...alisema Wenger
 Top man: Wenger with the Premier League trophy in the first Double-winning year, 1998
Timu ya Arsenal jumamosi hii watashuka dimbani kumenyana na timu ya Sunderland kwenye uwanja wa mwangaza "Stadium of Light" wakiwa na pengo kubwa katika safu ya ushambuliaji baada ya washambuliaji wake kukabiliwa na majeruhi.
Top dog: Arsene Wenger broke Arsenal's transfer record to bring Mesut Ozil from Real Madrid
Wenger anaonekana kujiamini zaidi baada ya kumsajili mchezaji wa kimataifa wa Ujerumani Mesut 'Ozil ambapo amekua akimsifia kwamba ataisaidia sana timu kunyakua makombe mengi msimu huu.
Frustration: Wenger and Arsenal have not won a trophy since 2005, since they lifted the FA Cup (below)
JE NDOTO ZA WENGER ZITATIMIA?

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!