Searching...
Ijumaa, 13 Septemba 2013

UTABIRI WA HALI YA HEWA JUMAMOSI 14-092013



          
  WIZARA YA UCHUKUZI

                               MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.

S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM

TELEFAX-2460772.


UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.

TAREHE 14/09/2013.

[Mikoa ya Kagera, Mara na Mwanza]:
Hali ya mawingu kiasi, ngurumo katika maeneo machache  na vipindi vya jua.

[Mikoa ya Kigoma, Rukwa, Iringa  na Mbeya]:
[Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Dar-Es-Salaam, Pwani na Tanga]:
[Mikoa ya Morogoro, Dodoma na Singida]:
[Mikoa ya Ruvuma, Mtwara na Lindi]:
[Mikoa ya Shinyanga na Tabora]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:

Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.

VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:


MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
               27°C               
12:31
D'SALAAM
           32°C           
12:20
DODOMA
31°C
12:34
KIGOMA           
30°C
12:58
MBEYA
28°C
12:42
MWANZA
31°C
12:46
TABORA
34°C
12:46
TANGA
30°C
12:21
ZANZIBAR
           31°C           
12:20
PEMBA
           29°C           
12:21
MOROGORO
32°C
12:27

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 20 kwa saa;kutoka Kusini-Mashariki kwa Pwani

   ya Kaskazini na  kutoka Mashariki kwa Pwani ya Kusini.

Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Madogo hadi Makubwa kiasi.  

Matazamio kwa usiku wa leo Jumamosi: 14/09/2013: Mabadiliko kidogo.

Utabiri huu umetolewa leo tarehe 14/09/2013.

   Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!