Home
»
Unlabelled
» TOKYO YASHINDA KUANDAA OLYMPIC 2020.
SHAMRA SHAMRA ZA MASHABIKI WA JAPANI BAADA YA KUONA WAKITANGAZWA RASMI WAANDAAAJI WA MICHEZO YA OLYMPIC MWAKA 2020VIONGOZI WA JAPANI WAKIWA WAMEKABIDHIWA HATI RASMI YA KUWARUHUSU KUANDAA MICHEZO YA OLYMPIC MWAKA 2020 MEYA WA MADRID ANNA BOTELLA AMBAYE ALIKUWA AKIIWAKILISHA NCHI YAKE KATIKA UPIGAJI WA KURA AKIWA HAAMINI BAADA YA KUSHINDWA NA JAPANI.
0 comments:
Chapisha Maoni