AJALIIIIIIIIIIIII!!!!! UKUNGU WASABABISHA MAGARI 130 KUPATA AJALI KWA MPIGO
Home
»
Unlabelled
» AJALIIIIIIIIIIIII!!!!! UKUNGU WASABABISHA MAGARI 130 KUPATA AJALI KWA MPIGO
Jumla ya magari 130 yamepata ajali kwa mpigo baada ya kutanda kwa
ukungu mwembamba ghafla uliopelekea magari yaliyokuwa yanakwenda kasi
kushindwa kuona mbele.
polisi wamesema ilikua ni miujiza kuona
magari 130 yanapata ajali kwa mpigo lakini hakukuwa na mtu yoyote
aliyefariki dunia katika ajali hiyo iliyotokea mashariki mwa England.
0 comments:
Chapisha Maoni