Katika droo hiyo Bi.Anna Gustav Lymo 29 afisa wa benk kuu na mkazi wa Dar es salaam ambapo ameibuka kuwa mshindi wa nyumba bora ya kisasa iliyopo kigamboni jijini Dar es salaam.
kulia ni meneja masoko wa Airtel Anneth Muga na kushoto ni mwakilishi wa bodi ya kubahatisha Bwana Emmanuel Ndaki akishuhudia zoezi hilo.
0 comments:
Chapisha Maoni
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.