Searching...
Jumapili, 11 Agosti 2013

UTABIRI WA HALI YA HEWA JUMATATU AUGUST 11,2013



WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
 UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 12/08/2013.
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
[Mkoa wa Tanga]:


Hali ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.

[Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Tabora, Shinyanga na Kigoma,]:
[Mikoa ya Dodoma, Ruvuma na Singida]:
[Mikoa ya Morogoro Lindi na Mtwara]:
[Mikoa ya Mara, Kagera na Mwanza]:
[Mikoa ya Rukwa na Mbeya, Iringa]:
[Mikoa ya Pwani  na Dar es salaam]:


Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:

MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
25°C
12:38
D'SALAAM
31°C
12:21
DODOMA
28°C
12:37
KIGOMA
32°C
01:02
MBEYA
24°C
12:42
MWANZA
30°C
12:52
TABORA
30°C
12:50
TANGA
29°C
12:25
ZANZIBAR
30°C
12:21
PEMBA
29°C
12:25
MOROGORO
28°C
12:28
 Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini Mashariki kwa kasi ya km 20 kwa Pwani yote
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Madogo hadi Makubwa Kiasi.
 Matazamio kwa usiku wa Jumatatu: 12/08/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo tarehe 12/08/2013.
 Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!