Searching...
Jumapili, 11 Agosti 2013

FEZA KESSY ATIMULIWA BBA USIKU HUU,TANZANIA YAFULIA

Dada  yetu  aliyekuwa  akituwakilisha  katika  shindano  la  Big Brother Africa  ameondolewa  rasmi  usiku  huu....
Kwa  sasa  Tanzania  hatuna  mwakilishi  tena  ndani  ya  jumba  hilo.
Habari  zaidi, baadae

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!