Searching...
Jumatano, 10 Julai 2013

UTABIRI WA HALI YA HEWA ALHAMISI TAREHE 11.07.2013



           WIZARA YA UCHUKUZI
                               MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 11/07/2013

Mkoa wa Mbeya (Maeneo ya miinuko)
Hali ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo machache  na vipindi vya jua
[Mikoa ya Mara, Kagera, Mwanza na Shinyanga]:
[Mikoa ya Dodoma, Kigoma,  Tabora na Singida]:
 [Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Dar es Salaam,  Pwani na Tanga]:
[Mikoa ya Lindi, Morogoro na Mtwara]:
[Mikoa ya Iringa, Rukwa na Ruvuma]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.


VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:


MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
               24°C               
12:36
D'SALAAM
           31°C           
12:19
DODOMA
28°C
12:35
KIGOMA           
28°C
01:01
MBEYA
21°C
12:39
MWANZA
29°C
12:51
TABORA
29°C
12:49
TANGA
29°C
12:24
ZANZIBAR
            29°C            
12:19
PEMBA
           28°C           
12:24
MOROGORO
30°C           
12:26

Upepo wa Pwani:Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini  kwa kasi ya km 40 kwa saa;
                                kwa ukanda wote wa pwani.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa.

Matazamio kwa usiku wa leo Alhamisi: 11/07/2013: Mabadiliko kidogo.

Utabiri huu umetolewa leo tarehe: 11/07/2013.

 Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!