Searching...
Jumatano, 24 Julai 2013

RAIS WA ZANZIBAR APATA MAPOKEZI MAKUBWA BUKOBA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Bukoba Fabian Masawe, alipowasili katika kiwanja cha Ndege cha Bukoba leo mchana,akiwa katika Mkoa huo Rais atashiriki katika maadhimisho ya siku ya Mashujaa,ambapo Kitaifa yatafanyika kesho Mkoani Kagera.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozimbalimbali wa Mkoa wa Bukoba mara alipowasili katika kiwanja cha Ndege cha Bukoba leo mchana,ambapo atashiriki katika Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa,ambapo Kitaifa yatakuwa kesho katika Mkoa huo.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Chama chaMapinduzi CCM Mkoa wa Bokoba mara alipowasili katika kiwanja cha Ndege  cha Bukoba leo mchana,ambapo atashiriki katika Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa,ambapo Kitaifa yatakuwa kesho katika Mkoa huo. 
[Picha naRamadhan Othman,Mkoani Bukoba.]

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!