WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12
ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE
22/06/2013.
|
[Mikoa ya Dar es Salaam
,Tanga, Lindi na Pwani]:
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
|
[Mikoa ya Kagera, Mara,
Mwanza na Shinyanga]:
[Mikoa ya Iringa,
Mbeya, Mtwara na Ruvuma]:
[Mikoa ya Dodoma, Morogoro na Singida]:
[Mikoa ya Kigoma, Rukwa na Tabora] :
|
|
Hali ya mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
Tahadhari: Upepo mkali unaozidi kilomita 40 kwa saa na
mawimbi makubwa yanayozidi mita 2.0 yanatarajiwa katika maeneo ya ukanda wote wa Pwani.
Tafadhali chukua tahadhari.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
|
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Machweo
(Saa)
|
|
ARUSHA
|
22°C
|
12:32
|
|
D'SALAAM
|
30°C
|
12:14
|
|
DODOMA
|
26°C
|
12:29
|
|
KIGOMA
|
31°C
|
12:55
|
|
MBEYA
|
21°C
|
12:34
|
|
MWANZA
|
28°C
|
12:49
|
|
TABORA
|
28°C
|
12:43
|
TANGA |
30°C
|
12:18
|
|
ZANZIBAR
|
28°C
|
12:14
|
|
PEMBA
|
28°C
|
12:18
|
|
MOROGORO
|
28°C
|
12:21
|
Upepo wa Pwani:Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini-Mashariki
kwa kasi ya km 40 kwa saa; kwa pwani yote.
Hali ya bahari:
Inatarajiwa kuwa na mawimbi makubwa.
Matazamio kwa
usiku wa leo Jumamosi 22/06/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe 22/06/2013.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.
0 comments:
Chapisha Maoni