Searching...
Jumamosi, 22 Juni 2013

MUONE WAYNE ROONEY AKIWA NDANI YA UZI WA CHELSEA (BADO HAJASAJILIWA)

 
Wayne Rooney in a Chelsea ShirtWAYNE ROONEY.
Wayne Rooney wiki ijayo anatarajiwa kukutana na kocha wake mpya DAVD MOYES kujadiliana kuhusu hatma yake ndani ya klabu yake ya MANCHESTER UNITED 
Taarifa zinasema Rooney bado ana hasira kufuatia kauli iliyotolewa na aliyekuwa kocha wa klabu hiyo Sir Alex Ferguson maarufu kama babu kufuatia kauli yake kwa umma kwamba anataka kuihama klabu hiyo msimu ujao kauli ambayo ROONEY amesema sio ya kweli na anachokihitaji ni kocha mpya MOYES kukiri kwa umma kwamba kauli iliyotolewa na babu FEGIE sio ya kweli vinginevyo lazima aondoke
Chelsea, Marco van Ginkel, transfer news
wakati huo huo makocha wa Chelsea na Arsenal tayari wameshatangaza ofa nono ya kumng'oa Man U na taarifa za ndani kabisa zinasema ROONEY atatimiza ndoto yake ya muda mrefu kama atatua CHELSEA kwani MOURINHO ni mmoja kati ya makocha anaowahusudu duniani japo inaonekana MAN U hawapo tayari kumuuza kwenye klabu ambayo itashindana naye kuchukua kombe la ligi kuu England msimu ujao.
Wide interest: Victor Wanyama is wanted by several of Europe's biggest teams
VICTOR WANYAMA AKIWA KAZINI NA TIMU YAKE YA TAIFA HARAMBEE STARS DHIDI YA SUPPER EAGLES YA NIGERIA.
Southampton wamekubali kutoa kitita cha paundi millioni 10 kama ada ya uhamisho ili kumng'oa mkenya huyo kwenye klabu yake ya sasa ya Celtic.
Lakini inaonekana Southampton watapata upinzani mkali kutoka kwa vilabu vya Saint, Arsenal, Liverpool na Inter Milan ambao nao wanapigania saini ya kiungo huyo mkenya. 

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!