Searching...
Jumatatu, 20 Mei 2013

UTABIRI WA HALI YA HEWA LEO JUMANNE TAREHE 21.05.2013



           WIZARA YA UCHUKUZI
                               MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 21/05/2013.


[Mikoa ya, Iringa, Mbeya, Rukwa na Ruvuma]:


Hali ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika  maeneo machache na vipindi  vya jua

[Mkoa ya Dar es Salaam, Pwani na Tanga]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
[Mkoa ya Kagera Mara. Mwanza na Shinyanga]:
[Mikoa ya Singida na Dodoma]:
[Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya, Kigoma na Tabora]:
[Mikoa ya Lindi, Morogoro na Mtwara]:

Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.
   
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:

MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
23°C               
12:28
D'SALAAM
31°C           
12:11
DODOMA
28°C
12:26
KIGOMA           
31°C
12:52
MBEYA
22°C
12:31
MWANZA
30°C
12:43
TABORA
29°C
12:40
TANGA
31°C
12:15
ZANZIBAR
30°C           
12:11
PEMBA
30°C           
12:15
MOROGORO
30°C           
12:18

Upepo wa Pwani:Unatarajiwa kuvuma kutoka  Kusini Mashariki kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani  yote.    
                 
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa kiasi .

 Matazamio kwa usiku wa leo Jumanne: 21/05/2013: Mabadiliko kidogo.

Utabiri huu umetolewa leo tarehe 21/05/2013. 

Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!