Searching...
Jumamosi, 1 Juni 2013

UTABIRI WA HALI YA HEWA JUMAMOSI JUNE MOSI,2013



WIZARA YA UCHUKUZI
                               MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 01/06/2013.


[Mkoa wa Mara na  Kagera]:

Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo  katika  maeneo machache na vipindi vya jua.
[Mikoa ya Tanga]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
 [Mikoa ya Iringa na Mbeya]:
Hali ya mawingu kiasi, mvua  nyepesi katika  maeneo  machache   na vipindi  vya jua
[Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani]:
[Mikoa ya Morogoro , Rukwa  na Ruvuma]:
[Mikoa ya Shinyanga, Tabora na Kigoma] :
[Mikoa ya, Singida, Mwanza na Dodoma]:
[Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara]:
[Mkoa wa Lindi na Mtwara]:
Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.


VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:

MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
23°C               
12:28
D'SALAAM
31°C           
12:11
DODOMA
28°C
12:27
KIGOMA           
30°C
12:53
MBEYA
26°C
12:31
MWANZA
29°C
12:43
TABORA
30°C
12:41
TANGA
28°C
12:16
ZANZIBAR
30°C           
12:11
PEMBA
29°C           
12:16
MOROGORO
31°C           
12:18


Upepo wa Pwani:Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini Mashariki kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani ya
                           Kaskazini na kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya Kusini.

Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Madogo hadi Makubwa kiasi

Matazamio kwa usiku wa leo Jumamosi 01/06/2013: Mabadiliko kidogo.

Utabiri huu umetolewa leo tarehe 01/06/2013.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!