Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya
walipokutana wakati wa mkutano na sherehe za kuadhimisha miaka 50 ya
Umoja wa Afrika (AU) jijini Addis Ababa, Ethiopia.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa
Balozi mpya wa Tanzania nchini Marekani Mh Liberata Mulamula
walipokutana wakati wa mkutano na sherehe za kuadhimisha miaka 50 ya
Umoja wa Afrika (AU) jijini Addis Ababa, Ethiopia.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Misri
Mohamed Morsi walipokutana wakati wa mkutano na sherehe za kuadhimisha
miaka 50 ya Umoja wa Afrika (AU) katika makao makuu ya Umoja huo jijini
Addis Ababa, Ethiopia.



0 comments:
Chapisha Maoni