Tukio hilo limetokea kuanzia saa nne asubuhi ambapo alianza mwanafunzi mmoja kupiga kelele na kuanguka wakati wakiendelea na masomo ambapo alitolewa nje ya darasa lakini cha kushangaza waliendelea kuanguka wengine wengi huku wakipiga kelele na kupigana kama vichaa.
Hapa mtumishi wa mungu aliamua kuingilia kati na kuwaombea wanafunzi hao.
binti mmoja kati ya waliokumbwa na majini hayo akiwa amelala bila kujitambua.
hata hivyo taarifa zaidi zinadai kwamba kuna mtu mmoja alikua anaombewa na mtumishi wa mungu kisha mambo yalipochanganya akapagawa na kukimbia hadi shuleni hapo na kuyatupa majini hayo na kisha kuwavaa wanafunzi.
0 comments:
Chapisha Maoni