Searching...
Jumatano, 22 Mei 2013

...MSTUKO CHELSEA...DAVID LUIZ KUONDOKA DARAJANI KUMKIMBIA MOURINHO,LAMPARD NAYE ATOA YA MOYONI KUHUSU BENITEZ,

David Luiz 
DAVID LUIZ
Taarifa za tetesi za kisoka zinasema klabu ya barcelona na real madrid wapo vitani kuwania saini ya beki kisiki wa chelsea the blues baada ya taarifa za kurejea kwa mourinyo katika klabu hiyo ya london ambapo kutokana na sababu ambazo hazijawekwa wazi zinasema endapo mourinyo kweli atarejea chelsea hawezi kumuhitaji beki huyo
Departing? David Luiz could be axed by Jose Mourinho when he joins the club in June 
DAVID LUIZ AKIWA MAZOEZINI
Clean sheets: Jose Mourinho's first job at Chelsea would be to strengthen their defence 
KOCHA JOSE MOURINHO AKIFURAHIA JAMBO
Star: Luiz was an integral part to Chelsea' Europa League triumph 
DAVID LUIZ AKIFURAHIA MOJA YA VIKOMBE ALIVYOISAIDIA CHELSEA KUVICHUKUA MSIMU ULIOPITA.

Frank Lampard and Rafa Benitez 
FRANK LAMPARD ASEMA HAJAWAHI KUWA NA MAHUSIANO MAZURI WALA YA KARIBU NA KOCHA ALIYEKUA AKIFUNDISHA KLABU YA CHELSEA RAFAEL BERNITEZ
Tough: Mourinho will have to decide on the futures of John Terry and Frank Lampard during next season 
TAARIFA ZAIDI ZINASEMA HATMA YA FRANK LAMPARD NA JOHN TERRY ZIPO MIKONONI MWA MRENO JOSE MOURINHO

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!