
Picha juu ni Maelfu ya wananchama wa Chadema Wakiwa kwenye mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni za Udiwani Arusha Jana kwa
ajili ya uchaguzi wa madiwani wa kata nne; Elerai, Kaloleni, Themi na
Kimandolu ambazo madiwani wake walifukuzwa uanachama na chama hicho huku
kikitamba kuwa hakina uchaguzi Arusha ila CCM ndio wenye uchaguzi.
0 comments:
Chapisha Maoni