Searching...
Jumapili, 7 Aprili 2013

UTABIRI WA HALI YA HEWA APRIL 07-JUMAPILI



           WIZARA YA UCHUKUZI
                               MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.

UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 07/04/2013.

 [Mikoa ya Lindi na Mtwara]:
[Mikoa ya Dar es Salaam,Tanga, Morogoro na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:

Hali ya mawingu ,mvua na ngurumo kwa baadhi ya maeneo na vipindi vifupi vya jua
[Mikoa ya Dodoma na Singida ]:
[Mikoa ya Kigoma, na Tabora]:


Hali ya mawingu, mvua na ngurumo
kwa maeneo machache na vipindi vya jua

[Mikoa ya Kagera, Mara, Mwanza  na  Shinyanga]:
[Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Rukwa ,Mbeya na Iringa]:

Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo
kwa maeneo machache na vipindi vya jua

[Mkoa wa Ruvuma]:

Hali ya mawingu, mvua  katika  maeneo  machache na vipindi  vya jua.
ANGALIZO: Kunatarajiwa kuwepo kwa ongezeko la mvua katika mikoa ya Kigoma, Tabora, Tanga na visiwa vya Unguja  na Pemba.

VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:

MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
28°C               
12:44
D'SALAAM
32°C           
12:33
DODOMA
30°C
12:47
KIGOMA           
30°C
01:11
MBEYA
23°C
12:56
MWANZA
28°C
12:58
TABORA
28°C
12:59
TANGA
32°C
12:34
ZANZIBAR
32°C           
12:33
PEMBA
                     32°C
12:29
MOROGORO
31°C
12:35

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka  Kusini-mashariki kwa  kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani   ya kusini na utavuma kutokea Kusini kwa kasi ya km 20 kwa saa pwani ya Kaskazini..

Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi madogo madogo hadi Makubwa kiasi.

Matazamio kwa siku ya Jumapili 07/04/2013: Mabadiliko kidogo.

Utabiri huu umetolewa leo tarehe 07/04/2013.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!