Searching...
Jumapili, 28 Aprili 2013

RAIS KIKWETE AHUDHURIA UFUNGUZI WA MKUTANO WA EAC

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhflwDtytqoTDQZBL80zEtTcFlfYoIh-reKQCSud_rovhtXmngCQHrMDOpUqu4p0xLVcmsUQBXnbX08bdunoye96xROwY6srSZWNZL3O_K0lBRxdegmrbKvaHxCmADPhVlgOhUYE7g5Lko/s1600/8E9U0624.JPG

Marais wa jumuiya ya Afrika Mashariki wakisimama kwa dakika moja kumkumbuka aliyekuwa Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kutoka Uganda Marehemu Eriya Kategaya wakati wa ufunguzi wa kikao cha kumi na moja cha Jumuiya hiyo jijini Arusha leo mchana. Katika Hoteli ya Ngurdoto.Kutoka kushoto Rais Wa Burundi Pierre Nkurunzinza,Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda,Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Wa Kenya Uhuru Kenyatta.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgwUNzao6q5cr-IYqeO5qvL4sPhr6HyIzFcqcEVt2m_MZOwIRlQw-CG_0bMdTC8dTTYYiOgoiIjfsmz04C4BsDwQk16Wqfy5crqHCxMBhbdJy4NqTTnZJIEj0EvLW3D_Pco_2BeedYPJKg/s1600/8E9U0631.JPG

Marais wa jumuiya ya Afrika Mashariki wakiwa kwenye kikao cha kumi na moja cha Jumuiya hiyo jijini Arusha leo.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhPJ75_8hk9FcHpm5f-em7fCNvJ6eNHsOamt_NqFoNQmoJrIoI17qgZM7FBEWOuTaPhv79tK4MZXogE_sc4NsWD_S8yMzlImETMoaIGlP1vBWVNiElpb-bv3Fk4QlVCSFVn4uJvygV_GTA/s1600/8E9U0638.JPG
Baadhi ya wajumbe walioshiriki ufunguzi wa kikao cha Juu cha kumi na moja cha Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki(11th Extraordinary EAC Summit) kilichofanyika jijini Arusha(picha na Freddy Maro)


0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!