Searching...
Jumanne, 23 Aprili 2013

CHADEMA WAFANYA KUFURU IRINGA

katibu mkuu wa Chadema Dr. Slaa akihutubia umati mkubwa wa wananchi wa jimbo la Iringa mjini katika uwanja wa Mwembetogwa mjini Iringa leo
Mbunge wa jimbo la Iringa mjini akiwapungia mkono wananchi waliojipanga barabarani kuwapongea wabunge wa Chadema na katibu mkuu wa Chama hicho leo
Mbunge wa jimbo la Mbeya mjini Joseph Mbilinyi akiwahutubia wananchi jimbo la Iringa mjini
Mbunge wa jimbo la Ubungo John Mnyika akiwahutubia wakazi wa jimbo la Iringa mjini leo

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!