WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12
ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE
01/04/2013.
[Mikoa ya Kagera, Mara,
Mwanza na Shinyanga]:
[Mikoa ya Kigoma, na
Tabora]:
|
|
Hali ya mawingu, mvua
na ngurumo katika
baadhi ya maeneo na vipindi vifupi
vya jua.
|
[Mikoa ya Rukwa na Singida ]:
[Mikoa ya Mbeya, Iringa na
Dodoma]:
[Mikoa ya Kilimanjaro,
Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]:
|
|
Hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika maeneo
machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Dar es salaam, Tanga na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
[ Mkoa wa Morogoro]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
katika maeneo
machache na vipindi vya jua.
|
[Mkoa wa Ruvuma]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.
|
Ushauri:
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango cha juu cha
joto
|
Machweo (Saa)
|
ARUSHA
|
28°C
|
12:38
|
D'SALAAM
|
31°C
|
12:25
|
DODOMA
|
30°C
|
12:39
|
KIGOMA
|
29°C
|
01:05
|
MBEYA
|
24°C
|
12:48
|
MWANZA
|
27°C
|
12:53
|
TABORA
|
28°C
|
12:53
|
TANGA |
32°C
|
12:28
|
ZANZIBAR
|
29°C
|
12:25
|
PEMBA
|
31°C
|
12:28
|
MOROGORO
|
30°C
|
12:32
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa kutoka Kusini-Mashariki
kwa Pwani ya Kaskazini na kwa kasi ya km 20 kwa sa kwa pwani ya Kusini.
Hali ya bahari:
Inatarajiwa kuwa na mawimbi madogo hadi
makubwa kiasi.
Matazamio kwa usiku wa leo
Jumatatu: 01/04/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe 01/04/2013.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.
0 comments:
Chapisha Maoni