Kushoto ni gari ndogo aina ya Range Rover ambayo iligongwa na Daladala (kulia) iliyosababisha ajali hiyo.
Kushoto ni gari ndogo aina ya Range Rover ambayo iligongwa na Daladala (kulia) iliyosababisha ajali hiyo
Magari mawili aina ya
Coaster yanayosafirisha abiria kati ya Mwenge, Tegeta na Mbezi jiijini
Dar, yamegongana na kuua abiria wanaokadiriwa kufikia zaidi ya 10,
ajali hiyo imetokea mchana huu eneo la Makongo. Mashahuda wa ajali hiyo
wamesema kuwa uzembe uliofanywa na dereva wa daladala iliyokuwa ikitoka
Tegeta ndiyo uliosababisha ajali hiyo, kwani alipita upande usiyo wake.
(PICHA: GABRIEL NGOSHA NA HARUNI SANCHAWA) VIA GLOBAL PUBLISHERS
HUYU DEREVA ANAONEKANA ALIKUA AMELEWA GONGO, MSHEZI KABISAAAA
JibuFuta