Searching...
Jumatano, 28 Agosti 2013

ENGLAND WAOMBA RADHI KUKOJOLEA UWANJANI

England apologise for urinating on The Oval wicketTIMU YA TAIFA YA ENGLAND YA CRIKET.
Timu ya taifa ya England ya mpira wa Cricket imelazimika kuomba radhi kutokana na shutuma za wachezaji wa timu yao kukojolea uwanjani wakati wakisherehekea ushindi wa 3-0 dhidi ya timu ya Ashes
England apologise for urinating on The Oval wicketWACHEZAJI WA ENGLAND STUART BROAD NA JAMES ANDERSON
‘Timu ya taifa ya cricket ya Englandinapenda kuweka wazi kwamba wakati tukisherehekea ushindi wetu  dhidi ya Ashes hatukuwa na kusudio lolote la kukojolea uwanjani na tunataka ifahamike kwamba Cricket ni mchezo tunaoupenda sana,’ilisomeka taarifa ya timu hiyo.
‘Sisi kama timu tunajivunia wenyewe jinsi tunavyoheshimu vitu vyote vya mchezo huu wa cricket ikiwemo timu pinzani na uwanja tunaochezea pia.
‘Lakini tunapenda kuweka wazi kwamba kama kuna mtu yoyote amekwazika na tukio hilo tunaomba radhi na tunataka kuwahakikishia kwamba hilo lilikuwa ni tatizo dogo ambalo halitajirudia tena.’ilimalizia taarifa ya timu hiyo.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!