Searching...
Jumanne, 16 Aprili 2013

SHIRIKA LA COMPATION INTERNATIONAL TANZANIA LAMWAGA MSAADA SINGIDA

Shirika lisilo la kiserekali la Compation Iternational Tanzania  limetoa msaada wa mahindi  magunia miamoja themanini na tano yenye thamani y ash.milioni kuminanane kwa famila za watoto wanao fadhiliwa na shirika hilo katika klaste ya Itigi wilayani Manyoni
Mkurugenzi wa kituo cha huduma ya motto cha kanisa la FPCT la Itigi TZ 819 bwana  Benedict Mpuya akitoa maelezo jinsi ya kugawa msaada huo wa chakula  kwa vituo vine TZ 819,TZ341 .TZ556 NA TZ 818
 Wazai wa watoto wanaopatiwa huduma ya motto na Compation Internatiol Tanzania  za vituo vya Itigi wakipatiwa msaada wa mahindi ili kuweza kukabiliana na njaa

 Wazazi baada ya kupewa msaada wa mahindi wakiondoka kwa furaha  na wameomba mashirika mengine pia yaige mfano huo wa kuwasaidia familia zingine ambazo zipo kijijini 

 Watoto wanao hudumiwa na vituo vya  kutoa hudu vya Compation Iternatinal Tanzania klasta ya Itigi wakipewa huduma ya  uji   kilasiku kwa lengo la kuwasaidia wasiweze kutoroka  masomo kwa sababu ya uhaba wa chakula.
PICHA NA HABARI KWA HISANI YA ELISANTE MKUMBO KUTOKA SINGIDA

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!