 |
Wacheza show wa Extra Bongo wakifanya yao Stejini |
Show
hii ambayo ilikua ya aina yake kutokana na kuvutia watu wa marika yote
iliandaliwa na redio KAHAMA FM, ikiwa ni katika mfululizo wa show zao
zilizoanzoa Geita, Musoma, Kahama na Kumalizika jana kule Nzega Tabora.
 |
Ally choki akiimba wimbo wake wa Mwaka wa tabu |
 |
Hapa Ni Mwinjuma Muumin akiimba tunda |
 |
Banza Stone na Mtaji wa Masikini |
 |
Rapa Mahiri wa Extra Bongo Frank Kabatana akifanya yake |
Hii
ni show iliyofanyika juzi ndani ya club Social Kahama ambapo Mwijuma
Muumin " Kocha wa Dunia" na Banza Stone " Mwana Masanja" walikuwa
waalikwa wa Ally Choki aliyekuwa na Bendi yake nzima ya Exra Bongo.
0 comments:
Chapisha Maoni