Mwanadada Lady Gaga mwanamziki maarufu duniani ameendeleza vituko baada ya kutoka yeye na rafiki yake wa kiume (boyfriend) akiwa ameacha sehemu nyeti za mwili wake utupu kama anavyoonekana pichani.
Nyota huyo wa muziki mwenye umri wa miaka 27 akiwa na boyfriend wake nyota wa filamu mwenye umri wa miaka 32 Taylor
Kinney walionekana juzi jumapili wakiyafurahia maisha katika ukumbi wa Chateau Marmont huko Los Angeles nchini Marekani na kuwafanya watu kuwakodolea macho nyota hao.
Akiwa amevalia nguo ya cheke cheke iliyokua inaonyesha sehemu kubwa ya mwili wake Lady Gaga alionekana kuwa katika muonekano tofauti hadharani kama njia moja wapo ya kuvuta hisia za mashabiki wake kabla ya kutoa albamu yake mpya inayokwenda kwa jina la Artpop.
0 comments:
Chapisha Maoni