|
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwasili ukumbini wakati wa
kikao chake na wabunge wa CCM, leo Mei 19, 2013, katika ukumbi wa jengo
la White House, Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma. Wengine kushoto ni
Spika wa Bunge Anna Makinda, Katibu wa Wabunge wa CCM, Jenista Mhagama
na Mwenyekiti wa Wabunge wa CCM, Waziri Mkuu Mizengo Pinda na Kulia ni
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Makamu Mwenyekiti wa CCM
(Bara) Philip Mangula
|
Jumatatu, 20 Mei 2013
Related Posts
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)


0 comments:
Chapisha Maoni